Saturday, April 14, 2012

"GANGSTA" PINI KALI KUTOKA NOIZ MEKAZ

Pini hili la  "Gangsta",ni collabo kati ya hiphop 

Mc's anzia Dar-Arusha-Mombasa mpaka 

Nairobi.Artists walopita ni BouNako, FiDo, 

MoPlus, Frost ,GeeZMabov, LavosT na 

RitchieRich,Hiphop ni worldwide na 

tunafanya kazi kwa pamoja kuimarisha 

\game na mshikamano ambao upo kati 

yetu wasanii,Geez Mabov anarepresent Dirty 

South pande za DSM,FiDo,MoPlus,Frost

 na BouNako wanarepresent Arachuga,Lavosti

 toka Ukoo MauMau anarepresent Mombasa

 na RitchieRich toka HeadBangaz International 

akirepresent pale Nairobi City,Audio ikiwa 

imesmamiwa pande za Noizmekah Studios,

Video ya pini hili inaendelezwa editing Pande 

za RED Films Arusha..

No comments:

Post a Comment