Sunday, April 15, 2012

ALIKAIBA AKANUSHA KUMCHUKUA LULU SIKU YA KIFO CHA KANUMBA




Mshindi wa wimbo bora wa zouk rhumba katika tuzo

za Kilimanjaro Tanzania Music Awards mtu mzima

Ali Kiba amekanusha kwamba usiku aliofariki Kanumba

yeye ndo alienda kumchukua Lulu, Wakati tukio linatokea

 Ali Kiba alikuwa kiwanja cha coco beach ndipo

kwamba Kanumba kafariki, Ndipo akampigia simu Lulu

kumuliza kama ni kweli Kanumba kafariki Lulu alimwambia

 hapana hajafa anaumwa tu.

 Muda si mrefu akapokea

simu kutoka kwa mama mtoto wake anaekaa Sinza

akamwambia ni kweli ameona mwili wake ukiingizwa

 mochwari. Ali Kiba asubuhi yake alisafiri kueleka

Malindi/Mombasa Kenya

 

No comments:

Post a Comment