Sunday, April 8, 2012

ARSENAL WAIPA UBINGWA MANCHESTER UNITED

Timu ya soka yaArsenal aka the guners wawapa man utd ushindi baada ya kuwazamisha vijana wa Roberto Mancini katika game kali lililopigwa Emirates


sport: Arsenal v Manchester City - Emirates Stadium

Alex Song wa Arsenal ( kushoto ) akimdhibiti 

 Sameer Nasri wa Man city katika mchezo wa 

ligi kuu katika uwanja wa Emarates.

 Arsnenal waliibuka kiffua mbele kwa

 ushindi wa goli moja

RED TOPS ... Wayne Rooney celebrates after scoring a controversial penalty

Vijana wa Alex Ferguson wakishangilia goli

No comments:

Post a Comment