Wednesday, April 18, 2012

CHELSEA KULIPA KISASI???

Vigogo viwili wa soka huko ulaya kukipiga leo ili kumtsfuta 

mbabe ambaye atakipiga na timu itakayofudhu kucheza

 fainali za ligi ya mabingwa kati ya vijana wa kocha 

msema hovyo Morinho na Beyern munich. katika mchezo

 wa leo Chelsea watakuwepo katika uwanja wao wa nyumbani

Stanford bridge kukipiga na Barcelona. . Iumbukwe ya kwamba

 mwaka 2009 Barca waliitoa The Blues katika nusu fainali

No comments:

Post a Comment