Monday, April 16, 2012

FABIO KUONDOKA UNITED KWA MKOPO

Beki wa Manchester United Mbrazil Fabio Da Silva 

ataondoka katika kikosi cha Mashetani wekundu

 mwishoni mwa msimu huu kwa mkopo.Kibabu

 Fergie amesema kwamba anaamini kuwa Fabio 

anahitaji kucheza katika kikosi cha kwanza

 ili kupata uzoefu zaidi. .  . Kwa upande wake 

Fabio amekubaliana na wazo hilo

No comments:

Post a Comment