Saturday, April 21, 2012

BARCA CHALIIIII



Ulimwengu mzima umeshuhudia Barca wakilala kwa goli 2

 kwa 1 katika El Clasico na mahasimu wao vijana wa

 kocha msema hovyo Mreno Jose Morinho aka special one

Real walikuwa wakwanza kuliona lango la mahasimu wao

 kwa goli safi la dakika ya 17 mara baada ya Sami Khedira

 kutikisa nyavu za Wakalunya hao

Dakika ya 70 Alexis Sanchez alisawazisha goli hilo lakini

mambo yakawa mabaya mnamo dakika ya 72 Mreno

 Christiano Ronaldo alipoifungia Real goli la ushindi

No comments:

Post a Comment