![]() |
Ulimwengu mzima umeshuhudia Barca wakilala kwa goli 2kwa 1 katika El Clasico na mahasimu wao vijana wakocha msema hovyo Mreno Jose Morinho aka special oneReal walikuwa wakwanza kuliona lango la mahasimu waokwa goli safi la dakika ya 17 mara baada ya Sami Khedirakutikisa nyavu za Wakalunya haoDakika ya 70 Alexis Sanchez alisawazisha goli hilo lakinimambo yakawa mabaya mnamo dakika ya 72 MrenoChristiano Ronaldo alipoifungia Real goli la ushindi |
No comments:
Post a Comment