BINGWA wa kick Boxing. Japhet Kaseba amesaini
mkataba wa
kucheza na
Bingwa wa dunia wa ndondi
mkanda unaomilikiwa
na IBC, Francis Cheka wa
Morogoro
katika uzani wa
KG 75 utakaofanyika siku ya sabasaba
jijini
Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kusaini mkataba
huo Kaseba
amesema anashukulu
kupata
mpambano huo na
atahakikisha anaonesha uwezo
wake wote
katika
mchezo huo kwani yeye ni bingwa
wa mapambano;
"Najua mabondia wa hapa bongo
wananikwep
a sana kwa kuwa nimeshakuwa
bingwa
wa ngumi
za mateke lakini awajui mimi ni
bingwa katika
mapigano
yote," alisema Kaseba.
"Nitahakikisha naweka kambi
ya kutosha
na kukata
ngebe za cheka ni
mtoto mdogo
sana katika
masumbwi kwa kweli bingwa wa
kweli n
i Rashidi
Matumla ambaye ninamuheshimu
mpaka
sasa Cheka kanikimbia mda mrefu tu
tangia
tupambane 3 October 2009 ambapo
alipewa
ubingwa kwa kusingizia
mshabiki
wangu, alikuja
kumtupa nje ya uwanja kazi yake yeye
anarudiana
na Mada Maugo kila siku lakini kwa sasa
kakanyaga miwaya zamu yake
imefika."
Nae Promota wa mpambano huo Kaike
Siraju amesema mpambano huo
utakaofanyika
Dar es salaam siku ya sabasaba utakuwa ni
mpambano ambao
aujawai kutokea kwa kuwa
mabondia hao wanakubalika na mashabiki
wa
ndani na nje ya Nchi.
Mbali na mpambano huo pia kutakua na
mapambano ya utangulizi na burudani
mbalimbali ambazo mtatangaziwa baadae.
No comments:
Post a Comment