Baba wa msanii Elizabeth michael ambaye yupo Rombo mkoani Kilanjaro awataka watanzania kuacha ushabiki kuhusiana na kesi inayomkabili binti yake kuhusiana na kuhusika na kifo cha msanii mwenzake marehemu Steven charles kanumba na kuwataka watanzania waiache mahakama itende haki
|
No comments:
Post a Comment