Ligi Kuu ya Vodacom imeingia raundi ya 25 ambapo
kesho (Aprili 25 mwaka
huu) Oljoro JKT itaikaribisha
Yanga kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya
Sheikh Kaluta Amri Abeid jijini Arusha wakati JKT
Ruvu itakuwa mwenyeji
wa Ruvu Shooting kwenye
Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam.
Raundi hiyo itakamilika kwa mechi nne; Aprili 28
Raundi hiyo itakamilika kwa mechi nne; Aprili 28
mwaka huu Coastal
Union itakuwa mwenyeji wa
Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Mkwakwani
jijini Tanga huku Mtibwa Sugar ikiwa mgeni wa
African Lyon kwenye
Uwanja wa Chamazi.
Azam na Toto African zitacheza Chamazi,
Azam na Toto African zitacheza Chamazi,
Aprili 30 mwaka huu wakati Mei
1 mwaka
huu Villa Squad itaumana na
Oljoro JKT kwenye Uwanja wa Chamazi.
Ligi hiyo itafunga msimu wa 2011/2012,
Ligi hiyo itafunga msimu wa 2011/2012,
Mei 5 mwaka huu ambapo timu zote
14 zitakuwa uwanjani.
Simba vs Yanga (Uwanja wa Taifa),
Simba vs Yanga (Uwanja wa Taifa),
Oljoro JKT vs Polisi Dodoma
(Sheikh
Kaluta Amri Abeid, Arusha)
na Ruvu Shooting vs Villa Squad (Mabatini,
Mlandizi).
Mechi nyingine zitakuwa kati ya
Mechi nyingine zitakuwa kati ya
Coastal Union vs Toto African (Mkwakwani, Tanga),
African Lyon vs JKT Ruvu (Manungu,
Morogoro), Azam vs Kagera Sugar (Chamazi, Dar es Salaam)
Morogoro), Azam vs Kagera Sugar (Chamazi, Dar es Salaam)
na Moro United vs Mtibwa Sugar (Jamhuri, Morogoro).